Tel: (255) 0754 600067 / (255) 0773 103168 Tel: (255) 0626 764861

Nkuhungu Secondary

NAFASI ZA MASOMO KWA MWAKA 2026

Kidato cha kwanza kwa mwaka 2026
Kidato cha pili na cha tatu kwa mwaka 2026
Masomo yanayofundishwa ni ya ;
Masomo ya sanaa, sayansi, biashara, michezo na lugha ya kichina

Nyote mnakaribishwa

Welcome to Nkuhungu Secondary

Welcome to Nkuhungu Secondary School Nkuhungu Secondary School is a vibrant co-educational (mixed boys and girls) secondary school located in the heart of Dodoma, Tanzania. Registered under the National Examinations Council of Tanzania (NECTA) with school code S1139, we are a non-government institution dedicated to providing quality secondary education to students from diverse backgrounds.

Program we offer

Ordinary Level

Nkuhungu Secondary tunafundisha masomo ya sanaa, sayansi, biashara na michezo kwa Kidato cha 1,2,3

Qualifying Test

Nkuhungu Secondary tunatoa huduma ya elimu ya kidato cha nne kwa miaka 2

Chinese & Entrepreneurship

Nkuhungu Secondary inafundisha masomo ya lugha ya kichina pamoja na masomo ya ujasiliamali

Resiter

Nkuhungu Secondary inatoa huduma ya kusajiri na kufanya mitihani kwa wanao rudia mitihani ya kidato cha nne

Uongozi wa shule ya Nkuhungu

Walamu wetu wenye uzoefu wamejitolea kwa elimu bora na mafanikio ya wanafunzi.

Our Facilities

Nkuhungu Secondary School is proud to offer a range of modern and well-maintained facilities designed to support academic excellence, personal growth, and holistic development for our students in Dodoma, Tanzania

School library

Maktaba ni moyo wa elimu na maarifa katika shule yetu. Imejaa vitabu mbalimbali vya masomo, riwaya, majaridai, pamoja na vitabu vya ziada kwa ajili ya kujifunza binafsi..

School laboratory

Tuna maabara zenye vifaa muhimu vinavyosaidia wanafunzi kuelewa vizuri masomo ya Fizikia, Kemia na Baiolojia kupitia majaribio ya vitendo.

Dinning Hall

Tunajivunia huduma bora za chakula kwa wanafunzi wetu ili waweze kusoma kwa nguvu na afya njema.

Playground

Tuna vifaa vya msingi vinavyowasaidia wanafunzi kushiriki kikamilifu katika michezo, huku tukihimiza ushirikiano, nidhamu na afya njema.